قَالُواْ بَلۡ وَجَدۡنَآ ءَابَآءَنَا كَذَٰلِكَ يَفۡعَلُونَ
Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Wakasema, «Haliwi lolote katika hayo, lakini tuliwakuta mababa zetu wakiwaabudu, na sisi tukawaiga katika yale ambayo walikuwa wakiyafanya.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس