وَنَزَعَ يَدَهُۥ فَإِذَا هِيَ بَيۡضَآءُ لِلنَّـٰظِرِينَ
Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na akautoa mkono wake kwenye uwazi wa kanzu yake uliofunguliwa kifuani au chini ya kwapa lake, na papo hapo ukawa mweupe kama barafu, na sio weupe wa mbalanga, ukawashangaza waangaliaji.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس