حَتَّىٰٓ إِذَا فُتِحَتۡ يَأۡجُوجُ وَمَأۡجُوجُ وَهُم مِّن كُلِّ حَدَبٖ يَنسِلُونَ
Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Basi pindi kitakapofunguliwa kizuizi cha Ya’jūj na Ma’jūj, na wakatoka kwenye ardhi za juu wakaenea kwenye pande zake kwa haraka,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس