وَوَهَبۡنَا لَهُم مِّن رَّحۡمَتِنَا وَجَعَلۡنَا لَهُمۡ لِسَانَ صِدۡقٍ عَلِيّٗا
Na tukawapa rehema zetu na tukawajaalia kupewa sifa za kweli tukufu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na tukawatunukia wao wote rehema zetu zikiwa ni nyongeza zisizohesabika, na tukawajaalia watajike vizuri na wasifiwe kwa sifa njema zenye kubaki kwa watu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس