قَالَ لَهُۥ مُوسَىٰ هَلۡ أَتَّبِعُكَ عَلَىٰٓ أَن تُعَلِّمَنِ مِمَّا عُلِّمۡتَ رُشۡدٗا
Musa akamwambia: Nikufuate ili unifunze katika ule uwongofu ulio funzwa wewe?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Mūsā akamsalimia na akamwambia, «Je, utaniruhusu nikufuate, unifundishe elimu ambayo Mwenyezi Mungu Amekufudisha kadiri ya mimi kujiongoza nayo na kunufaika?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس