هَمَّازٖ مَّشَّآءِۭ بِنَمِيمٖ
Mtapitapi, apitaye akifitini,
Ali Muhsin Al - Swahili translation
mrongo sana, mtwevu, msengenyaji watu, anayetembea baina yao kwa kuchochea ugomvi na kuchukua maneno ya baadhi yao kuwapelekea wengine kwa lengo la kuharibu baina yao, bahili wa mali mwenye uchoyo wa kuyatumia katika njia ya haki,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس