وَنَجَّيۡنَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَكَانُواْ يَتَّقُونَ
Na tukawaokoa walio amini na wakawa wanamcha-mngu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na tukawaokoa wale walioamini kutokana na adhabu iliyowapata kina 'Ād na Thamūd. Na hawa waliookoka walikuwa wanamuogopa Mwenyezi Mungu na kumcha.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس